Add parallel Print Page Options

Mpango wa Kumwua Yesu

(Mt 26:1-5; Mk 14:1-2; Yh 11:47-53)

22 Ilikuwa karibu ya Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, inayoitwa Pasaka. Viongozi wa makuhani na walimu wa sheria walitaka kumwua Yesu kwa siri kwa sababu waliogopa kile ambacho watu wangefanya.

Read full chapter