Font Size
Mathayo 13:16-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 13:16-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
16 Bahati gani mliyonayo ninyi. Mnaelewa mnachokiona kwa macho yenu. Na mnaelewa mnachosikia kwa masikio yenu. 17 Ninaweza kuwathibitishia, manabii na watakatifu wengi walitaka kuona mnayoyaona. Lakini hawakuyaona. Walitaka kusikia mnayosikia sasa. Lakini hawakuyasikia.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International