Add parallel Print Page Options

ghafla Yesu alisimama mbele yao. Akasema, “Salamu!” Wanawake wakamwendea wakamshika miguu na wakamwabudu. 10 Kisha Yesu akawaambia, “Msiogope. Nendeni mkawaambie wafuasi wangu[a] waende Galilaya, wataniona huko.”

Read full chapter

Footnotes

  1. 28:10 wafuasi wangu Kwa maana ya kawaida, “ndugu zangu”.